Jeremiah 30:6


6 aUlizeni na mkaone:
Je, mwanaume aweza kuzaa watoto?
Kwa nini basi ninaona kila mwanaume mwenye nguvu
ameweka mikono yake tumboni
kama mwanamke aliye na utungu wa kuzaa,
kila uso ukigeuka rangi kabisa?
Copyright information for SwhKC